Afrika Ya Mashariki

Afrika Ya Mashariki

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.
00:00
00:00

Epizode

160-

Mazungumzo ya kitaifa yanaweza kuponya majeraha ya DRC?

24 srp 2026
159-

CCM na ACT-Wazalendo vimesaini makubaliano mapya ya maridhiano.

15 srp 2026
158-

Hali ya Ziwa Victoria na changamoto zinazolikabili

30 svibanj 2026
157-

Tanzania: Ripoti ya Tume ya uchunguzi kuhusu vurugu za uchaguzi mkuu wa Oktoba

02 svibanj 2026
156-

Kumbukizi ya miaka 32 ya mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994

11 tra 2026