Gurudumu la Uchumi

Gurudumu la Uchumi

Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .

00:00
00:00

Epizode

305-

Hatifungani za serikali na hazina: Kwa nini zinahusu kila mwananchi?

29 srp 2026
304-

Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika

22 srp 2026
303-

Sarafu za kidijitali ‘Cryptocurrency’ uwekezaji wa kisasa wenye fursa na hatari

15 srp 2026
302-

Kodi na Maendeleo: Je, tunapata thamani ya kodi tunazolipa?

08 srp 2026
301-

Je, kukopa kunasaidia ukuaji wa uchumi au kunaleta hatari za siku zijazo?

24 lip 2026